Lesson 1
KUUSU BIBLIA
Biblia ina tufundisha wazi kwamba ni kitabu cha Mungu kilicho andikwa na wanadamu kwa uwezo wa roho mtakatifu.
Biblia ni maandiko matakatifu ambacho kinaleta amani na furaha . Zaidi sana biblia ina tujibu wakati tunapo kuwa na maswali mbalimbali kuusu uwepo wetu na mwisho wetu( yaani Tangu umbaji hadi mwisho wetu) na kutonyesha mambo yaliyo mema na yaliyo mabaya mbele za Mungu na mbele ya sisi wanadamu.
Tunapo soma (2 thimotheo 3:16 ) Ina sema” Kila andiko lenye pumzi ya Mungu ,la faa kwa mafundisho ,na kuwaonya watu makosa yao,na kwa kuwaongoza,na kwa kuwaadibisha katika haki.
Neno linalo andikwa katika kitabu hicho haya kutoka katika mawazo ya wanadamu,bali Roho mtakatifu alizungumza ndani ya wanadamu sambamba na jinsi walivyo ongozwa na Roho mtakatifu. Viongozi wa nao ongoza shughuli hizi za kiroho wanahitajika kufundisha mafunzo kamili ya nayo funuliwa katika Bilblia.
Waandishi wa kitabu hiki wali andika wakitumia wakati, elimu, ujuzi na nafasi za kijamii mbalimbali.
Na walipo kusanya maandiko yote kwa kuweka kitabu kimoja yalikutwa ya naambatana.
Biblia ina tuambia juu ya mipango ya Mungu juu ya wokovu, ina weza kutuongoza kwa kumaliza ubaya na kuwa katika hali njema, na hali yoyote inayo tufanya kuwa wenye zambi na wabaya wote. Lengo la biblia ni kutufanya tujuwe na umoja kugombanisha kuto kuwa na ukabila wa rangi wowote kwa ajili ya wokovu kupitia yesu kristo.
Agano lakale na agano jipya yana tuunganisha wote kwa yesu Kristo kama mwokozi kwa hali ya kiutu. ( John 20:31) ina sema “Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu,na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake”
(2Timotheo 3:15-17) inasema” najuwa kuwa Tangu kuwa utoto umeyajuwa maandiko matakatifu yanayo kuekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika kristo Yesu. ” Kila andiko lenye pumzi ya Mungu ,la faa kwa mafundisho ,na kuwaonya watu makosa yao,na kwa kuwaongoza,na kwa kuwaadibisha katika haki.Ili mtu wa Mungu awe kamili,amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.
Yaliyomo
Biblia ni mchanganyiko wa vitabu vigawanyikavyo kwa ahina mbili. Agano la Kale na agano Jipya.
Agano lakale liliandikwa kabla ya yesu kristo, na agano jipya liliandikwa baada ya yesu kristo,
Ndani ya biblia muna vitabu 66 ambavyo viliandikwa na watu 40 kwa mda wa miaka 1500. Waliyaandika kwenye inchi tofauti kama vile Israel, Egypt, Italy na Babilone, Na vitabu vyote vilivyo andikwa katika inchi hizo , waliyaandinka kwa kutenda kazi katika inchi mbali mbali kwa malengo ya Mungu.
KUUSU AGANO LA KALE
Agano la kale lina gawanyika aina 4
A) Vitabu vya musa , B) Vitabu vya Historia ,C)Vitabu vya washairi(Poetic), D)Vitabu vya unabii.
AGANO JIPYA: Kuna aina inne
A)Rikodi za injili, B)Vitabu vya matendo ya Mitume ,C) Vitabu vya Ma baruwa ,D)Vitabu vya Ufunuo
Swali ambalo tuna weza kujiuliza, Je Yesu Christo aliamini maneno ya agano la kale?
Tunakuta kwamba , Yesu ni center ya sura yote ya mipango ya Biblia na wakati alipo zaliwa agano jipya halikuwepo na wakati huo ali tumia maandiko matakatifu kutoka agano la kale. Yesu aliamini kabisa maandiko matakatifu,na aliyatumia katika mafunzo yake na kukubali kama ni uongozi wa aliye juu.
Yoana 5:46-47 kwamaana kama mngali mwamini Musa,mngeniamini mimi; kwa sababu yeye aliandika habari zangu. Lakini msipoyaamini maneno yake, muta yaamini wapi maneno yangu?
Yesu , Abrahimu, Isaka , Yakobo,Daudi,na Sulemani ni watu ambao wali fuata agano lakale na mafunzo yali husu mafundisho haya kwamba watu hao walikuwa katika kweli na walikubali kuwa agano la kale ni neno la Mungu.
BIBLIA HAIWEZI KUSHUHUDIA UONGO
Kuna watu wengi wenye elimu ya juu, wali jaribu kuta futa uongo wa biblia, bali hawakufaulu kuuona na hadi wakashindwa kabisa. Inchi nyingi zina uakika wa ukweli wa historia ya Biblia kama vile Misri,nanive,siria,babilone,Asiriana lebanone.
UNABII UNAHAKIKISHA UKWELI WA BIBLIA
Mungu mwenyewe ali chaguwa unabii kama uakikisho usio na kikomo wa ukuu wake kwa viumbe vyote(Isahia46:9-10) . Tuna elewa wazi njisi biblia ili towa unabii ulio sahii kuusu kuzaliwa kwa yesu. Biblia ilitowa unabii ya mambo yalio pita kabla mamia ya miaka na kuja kuwa na uwakika katika agano jipya(Mika5:2) haya yana tupa nguvu na ukweli . Biblia ina sema katika (Yeremia 30:10-11).
Like this:
Like Loading...